Ayubu 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na hali yeye mwenyewe amezijaza nyumba zao vitu vyema;+Na shauri la waovu limekaa mbali nami.+ Zaburi 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Mwenye furaha+ ni mtu ambaye hakutembea katika shauri la waovu,+Na katika njia ya watenda-dhambi hakusimama,+Na katika kiti cha wenye dhihaka hakuketi.+
1 Mwenye furaha+ ni mtu ambaye hakutembea katika shauri la waovu,+Na katika njia ya watenda-dhambi hakusimama,+Na katika kiti cha wenye dhihaka hakuketi.+