- 
	                        
            
            Mhubiri 9:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
2 Wote ni sawa katika lile ambalo wote wanalo.+ Kuna mwisho mmoja+ kwa mwadilifu+ na kwa mwovu,+ mtu mwema na mtu safi na mtu asiye safi, na mtu anayetoa dhabihu na mtu ambaye hatoi dhabihu. Mtu mwema ni sawa na mtenda-dhambi;+ mtu anayekula kiapo ni sawa na yeyote yule ambaye ameogopa kiapo rasmi.+
 
 -