Ayubu 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye Yehova akaendelea kumwambia Shetani: “Je, umeuweka moyo wako juu ya mtumishi wangu Ayubu, kwamba hakuna yeyote aliye kama yeye duniani,+ mtu asiye na lawama+ na mnyoofu,+ mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya?”+ Ayubu 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tafadhali, kumbuka hili: Je, ni nani aliyepata kuangamia bila hatia?Na wanyoofu+ walipata kufutiliwa mbali wapi?
8 Naye Yehova akaendelea kumwambia Shetani: “Je, umeuweka moyo wako juu ya mtumishi wangu Ayubu, kwamba hakuna yeyote aliye kama yeye duniani,+ mtu asiye na lawama+ na mnyoofu,+ mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya?”+
7 Tafadhali, kumbuka hili: Je, ni nani aliyepata kuangamia bila hatia?Na wanyoofu+ walipata kufutiliwa mbali wapi?