Ayubu 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ikiwa nilikuwa nikiona mtu yeyote akiangamia kwa kukosa vazi,+Au kwamba maskini hakuwa na cha kujifunika; Ayubu 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu.
19 Ikiwa nilikuwa nikiona mtu yeyote akiangamia kwa kukosa vazi,+Au kwamba maskini hakuwa na cha kujifunika; Ayubu 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu.
7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu.