2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+
13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+