Zaburi 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana hakudharau+Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+Naye hakumficha uso wake,+Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+ Isaya 57:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana sitashindana mpaka wakati usio na kipimo, wala sitakuwa na ghadhabu daima;+ kwa maana roho itafifia+ kwa sababu yangu, viumbe vinavyopumua ambavyo mimi mwenyewe nimevifanya.+
24 Kwa maana hakudharau+Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+Naye hakumficha uso wake,+Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+
16 Kwa maana sitashindana mpaka wakati usio na kipimo, wala sitakuwa na ghadhabu daima;+ kwa maana roho itafifia+ kwa sababu yangu, viumbe vinavyopumua ambavyo mimi mwenyewe nimevifanya.+