Zaburi 111:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+ Zaburi 119:120 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+ Methali 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+
10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+
120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+
6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+