Mhubiri 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+ 2 Petro 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Zaidi ya hayo, ioneni subira ya Bwana wetu kuwa wokovu, kama ndugu yetu mpendwa Paulo alivyowaandikia+ ninyi kulingana na hekima+ aliyopewa,
13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+
15 Zaidi ya hayo, ioneni subira ya Bwana wetu kuwa wokovu, kama ndugu yetu mpendwa Paulo alivyowaandikia+ ninyi kulingana na hekima+ aliyopewa,