Zaburi 74:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wewe mwenyewe uliichochea bahari kwa nguvu zako mwenyewe;+Ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa baharini katika maji.+ Isaya 51:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Lakini mimi, Yehova, ni Mungu wako, Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yachafuke.+ Yehova wa majeshi ni jina lake.+
13 Wewe mwenyewe uliichochea bahari kwa nguvu zako mwenyewe;+Ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa baharini katika maji.+
15 “Lakini mimi, Yehova, ni Mungu wako, Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yachafuke.+ Yehova wa majeshi ni jina lake.+