Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Na ahukumu wenye kuteseka katikati ya watu,+

      Na awaokoe wana wa maskini,

      Na amponde mpunjaji.

  • Isaya 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana hiyo ni siku ya Yehova wa majeshi.+ Iko juu ya kila mtu aliyejikweza na aliye juu sana na juu ya kila mtu aliyejiinua juu au aliye chini;+

  • Danieli 2:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wakati huo kile chuma, ule udongo uliofinyangwa, ile shaba, ile fedha na ile dhahabu, zote pamoja, zilipondwa na kuwa kama makapi yanayotoka kwenye uwanja wa kupuria wa wakati wa kiangazi,+ kisha upepo ukazipeleka mbali hivi kwamba alama zake hazikuonekana hata kidogo.+ Na lile jiwe lililoipiga sanamu ile likawa mlima mkubwa, na kuijaza dunia yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki