Methali 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hekima ni bora kuliko marijani,+ na vitu vingine vyote vyenye kupendeza haviwezi kulinganishwa nayo.+ Methali 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kuna dhahabu, pia kuna wingi wa marijani; lakini midomo ya ujuzi ni vyombo vyenye thamani.+
11 Kwa maana hekima ni bora kuliko marijani,+ na vitu vingine vyote vyenye kupendeza haviwezi kulinganishwa nayo.+