Ayubu 38:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni nani ameugawanya mfereji kwa ajili ya mafurikoNa njia kwa ajili ya wingu la dhoruba lenye kunguruma,+ Zekaria 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+
25 Ni nani ameugawanya mfereji kwa ajili ya mafurikoNa njia kwa ajili ya wingu la dhoruba lenye kunguruma,+
10 “Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+