Zaburi 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+ Methali 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+
14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+
32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+