Ayubu 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mrudi, tafadhali—ukosefu wowote wa uadilifu usitokee—Ndiyo, rudini—uadilifu wangu bado umo ndani yake.+ Ayubu 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimeishikilia haki yangu, nami sitaiachilia;+Moyo wangu hautanidhihaki kwa ajili ya yoyote ya siku zangu.+ Methali 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na ubaya.+
29 Mrudi, tafadhali—ukosefu wowote wa uadilifu usitokee—Ndiyo, rudini—uadilifu wangu bado umo ndani yake.+
6 Nimeishikilia haki yangu, nami sitaiachilia;+Moyo wangu hautanidhihaki kwa ajili ya yoyote ya siku zangu.+