Yeremia 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+ 1 Wakorintho 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 ili mwili wowote usijisifu+ machoni pa Mungu.
23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+