Methali 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+ Methali 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kuna dhahabu, pia kuna wingi wa marijani; lakini midomo ya ujuzi ni vyombo vyenye thamani.+
2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+