Mwanzo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+ Ayubu 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tafadhali, kumbuka kwamba umenifanyiza kutoka katika udongo+Nawe utanifanya nirudi katika mavumbi.+ 1 Wakorintho 15:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Mtu wa kwanza ni wa kutoka duniani na amefanywa kwa mavumbi;+ mtu wa pili ni wa kutoka mbinguni.+ 2 Wakorintho 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, sisi tuna hazina+ hii katika vyombo+ vya udongo,+ ili nguvu+ zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu+ na si zile za kutoka ndani yetu wenyewe.+
7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+
9 Tafadhali, kumbuka kwamba umenifanyiza kutoka katika udongo+Nawe utanifanya nirudi katika mavumbi.+
7 Hata hivyo, sisi tuna hazina+ hii katika vyombo+ vya udongo,+ ili nguvu+ zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu+ na si zile za kutoka ndani yetu wenyewe.+