Ayubu 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Pia unaendelea kuiweka miguu yangu katika mikatale,+Nawe unaziangalia njia zangu zote;Unatia alama ya mstari wako kwa ajili ya nyayo za miguu yangu. Yeremia 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Pashuri akampiga Yeremia nabii+ na kumweka katika mikatale+ iliyokuwa katika Lango la Juu la Benyamini, lililokuwa katika nyumba ya Yehova. Matendo 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa sababu alipata agizo la namna hiyo, akawatupa ndani ya gereza+ la ndani zaidi na kuifunga miguu yao katika mikatale.+
27 Pia unaendelea kuiweka miguu yangu katika mikatale,+Nawe unaziangalia njia zangu zote;Unatia alama ya mstari wako kwa ajili ya nyayo za miguu yangu.
2 Ndipo Pashuri akampiga Yeremia nabii+ na kumweka katika mikatale+ iliyokuwa katika Lango la Juu la Benyamini, lililokuwa katika nyumba ya Yehova.
24 Kwa sababu alipata agizo la namna hiyo, akawatupa ndani ya gereza+ la ndani zaidi na kuifunga miguu yao katika mikatale.+