10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo.
26 ‘Yehova amekufanya wewe kuwa kuhani badala ya Yehoyada kuhani, ili uwe mwangalizi mkuu wa nyumba ya Yehova+ kuelekea mtu yeyote aliyetiwa wazimu+ na mwenye kujiendesha kama nabii, nawe utamtia katika mikatale na katika kongwa;+