Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo.

  • Yeremia 29:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ‘Yehova amekufanya wewe kuwa kuhani badala ya Yehoyada kuhani, ili uwe mwangalizi mkuu wa nyumba ya Yehova+ kuelekea mtu yeyote aliyetiwa wazimu+ na mwenye kujiendesha kama nabii, nawe utamtia katika mikatale na katika kongwa;+

  • Matendo 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa sababu alipata agizo la namna hiyo, akawatupa ndani ya gereza+ la ndani zaidi na kuifunga miguu yao katika mikatale.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki