2 Mambo ya Nyakati 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo. Yeremia 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Pashuri akampiga Yeremia nabii+ na kumweka katika mikatale+ iliyokuwa katika Lango la Juu la Benyamini, lililokuwa katika nyumba ya Yehova. Matendo 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa sababu alipata agizo la namna hiyo, akawatupa ndani ya gereza+ la ndani zaidi na kuifunga miguu yao katika mikatale.+
10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo.
2 Ndipo Pashuri akampiga Yeremia nabii+ na kumweka katika mikatale+ iliyokuwa katika Lango la Juu la Benyamini, lililokuwa katika nyumba ya Yehova.
24 Kwa sababu alipata agizo la namna hiyo, akawatupa ndani ya gereza+ la ndani zaidi na kuifunga miguu yao katika mikatale.+