Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu.

  • Hesabu 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na uangalizi+ wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani utakuwa juu ya mafuta+ ya mwanga na uvumba uliotiwa manukato+ na lile toleo la nafaka la daima+ na yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta,+ uangalizi wa maskani yote na vyote vilivyo ndani yake, yaani, mahali patakatifu na vyombo vyake.”

  • Yeremia 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Sasa Pashuri mwana wa Imeri,+ kuhani, ambaye pia alikuwa msimamizi mkuu katika nyumba ya Yehova,+ akaendelea kumsikiliza Yeremia alipokuwa akitoa unabii wa maneno hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki