Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Yehu akatoka nje, akawaendea watumishi wa bwana wake, nao wakaanza kumuuliza: “Je, ni salama?+ Kwa nini huyu mwenda-wazimu+ alikuja kwako?” Lakini akawaambia: “Ninyi mnajua vema mtu huyo na namna yake ya kuongea.”

  • Hosea 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Siku za kukaziwa fikira zitakuja;+ siku za malipo yanayostahili zitakuja.+ Watu wa Israeli watajua habari hiyo.+ Nabii atakuwa mpumbavu,+ mtu wa neno lililoongozwa na roho atatiwa wazimu kwa sababu ya wingi wa makosa yako,+ hata uadui kuwa mwingi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki