11 Ndipo Yehu akatoka nje, akawaendea watumishi wa bwana wake, nao wakaanza kumuuliza: “Je, ni salama?+ Kwa nini huyu mwenda-wazimu+ alikuja kwako?” Lakini akawaambia: “Ninyi mnajua vema mtu huyo na namna yake ya kuongea.”
7 “Siku za kukaziwa fikira zitakuja;+ siku za malipo yanayostahili zitakuja.+ Watu wa Israeli watajua habari hiyo.+ Nabii atakuwa mpumbavu,+ mtu wa neno lililoongozwa na roho atatiwa wazimu kwa sababu ya wingi wa makosa yako,+ hata uadui kuwa mwingi.”