Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeye ana hekima na nguvu;+

      Ana shauri na uelewaji.+

  • Zaburi 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+

      Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+

  • Isaya 40:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Lakini ninyi mnaweza kunifananisha na nani ili nipate kuwa sawa naye?” asema aliye Mtakatifu.+

  • Isaya 55:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki