Ayubu 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye ana hekima na nguvu;+Ana shauri na uelewaji.+ Zaburi 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+ Isaya 40:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Lakini ninyi mnaweza kunifananisha na nani ili nipate kuwa sawa naye?” asema aliye Mtakatifu.+ Isaya 55:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+
4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+
9 “Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,+ ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu,+ na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+