Zaburi 58:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anatembea kama konokono anayeyeyuka;Kama mimba ya mwanamke iliyoharibika hakika hawataliona jua.+ Mhubiri 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwanamume akizaa mara mia moja,+ na aishi miaka mingi, mpaka siku za maisha yake ziwe nyingi,+ lakini nafsi yake haijatosheka na mambo mazuri+ na hata kaburi halijawa lake,+ lazima niseme kwamba mtu aliyezaliwa akiwa mfu ni bora kuliko huyo.+ Hosea 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wape, Ee Yehova, kile inachokupasa kuwapa.+ Wape tumbo lenye kuharibu mimba+ na maziwa yanayokauka.
3 Mwanamume akizaa mara mia moja,+ na aishi miaka mingi, mpaka siku za maisha yake ziwe nyingi,+ lakini nafsi yake haijatosheka na mambo mazuri+ na hata kaburi halijawa lake,+ lazima niseme kwamba mtu aliyezaliwa akiwa mfu ni bora kuliko huyo.+
14 Wape, Ee Yehova, kile inachokupasa kuwapa.+ Wape tumbo lenye kuharibu mimba+ na maziwa yanayokauka.