Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 58:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Anatembea kama konokono anayeyeyuka;

      Kama mimba ya mwanamke iliyoharibika hakika hawataliona jua.+

  • Mhubiri 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwanamume akizaa mara mia moja,+ na aishi miaka mingi, mpaka siku za maisha yake ziwe nyingi,+ lakini nafsi yake haijatosheka na mambo mazuri+ na hata kaburi halijawa lake,+ lazima niseme kwamba mtu aliyezaliwa akiwa mfu ni bora kuliko huyo.+

  • Hosea 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wape, Ee Yehova, kile inachokupasa kuwapa.+ Wape tumbo lenye kuharibu mimba+ na maziwa yanayokauka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki