10Basi Ahabu alikuwa na wana 70+ katika Samaria.+ Kwa hiyo Yehu akaandika barua, akazituma Samaria kwa wakuu+ wa Yezreeli, wanaume wazee+ na watunzaji wa Ahabu, na kusema:
21 Na Rehoboamu alimpenda zaidi Maaka mjukuu wa Absalomu kuliko wale wake+ zake wengine wote na masuria wake; kwa maana alikuwa amechukua wake 18, pia masuria 60, hivi kwamba akawa na wana 28 na binti 60.