Ayubu 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Au, kama mimba yenye kuharibika+ iliyofichwa, singalikuwako,Kama watoto ambao hawajaona nuru.+ Mhubiri 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo aliye afadhali kuliko hao wawili ni yule ambaye hajakuwapo bado,+ ambaye bado hajaona kazi yenye msiba inayofanywa chini ya jua.+
3 Kwa hiyo aliye afadhali kuliko hao wawili ni yule ambaye hajakuwapo bado,+ ambaye bado hajaona kazi yenye msiba inayofanywa chini ya jua.+