15 Kwa hiyo si jambo kubwa kama wahudumu+ wake wakiendelea pia kujigeuza wenyewe kuwa wahudumu wa uadilifu. Lakini mwisho wao utakuwa kulingana na matendo yao.+
16 Wao hutangaza hadharani kwamba wanamjua Mungu,+ lakini humkana kwa matendo yao,+ kwa sababu ni wenye kuchukiza na wasiotii nao si wenye kukubalika+ kwa ajili ya kazi njema ya namna yoyote.