Yeremia 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova amesema hivi kuwahusu watu hawa: “Hivyo wamependa kutanga-tanga;+ hawakuzuia miguu yao.+ Basi Yehova hakuwafurahia.+ Sasa atalikumbuka kosa lao naye atazikazia fikira dhambi zao.”+ Amosi 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Yehova ameapa kwa Ukuu wa Yakobo,+ ‘Kamwe sitazisahau kazi zao zote.+
10 Yehova amesema hivi kuwahusu watu hawa: “Hivyo wamependa kutanga-tanga;+ hawakuzuia miguu yao.+ Basi Yehova hakuwafurahia.+ Sasa atalikumbuka kosa lao naye atazikazia fikira dhambi zao.”+