Methali 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mtu mwenye ghadhabu kubwa atachukua adhabu;+ kwa maana ukimkomboa, utaendelea kufanya hivyo tena na tena.+ Methali 29:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,+ na mtu yeyote mwenye mwelekeo wa ghadhabu ana makosa mengi.+
19 Mtu mwenye ghadhabu kubwa atachukua adhabu;+ kwa maana ukimkomboa, utaendelea kufanya hivyo tena na tena.+