5 Na Mfalme Daudi akaenda mpaka Bahurimu,+ na tazama! palikuwa na mtu anatoka huko, wa familia ya nyumba ya Sauli, na jina lake lilikuwa Shimei,+ mwana wa Gera, akiwa anatoka na kulaani huku akiwa anatoka.+
9 Basi Hamani akatoka siku hiyo akiwa na shangwe na furaha+ moyoni; lakini mara tu Hamani alipomwona Mordekai katika lango la mfalme+ na kwamba hakusimama+ wala kutetemeka kwa ajili yake,+ upesi Hamani akajawa na ghadhabu+ juu ya Mordekai.