Zaburi 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndiyo sababu waovu hawatasimama katika hukumu,+Wala watenda-dhambi katika kusanyiko la waadilifu.+ Yeremia 51:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Na useme, ‘Hivi ndivyo Babiloni atakavyozama asiinuke tena kamwe kwa sababu ya msiba ambao ninaleta juu yake;+ nao hakika watajichosha.’”+ Maneno ya Yeremia yamefikia hapa.
64 Na useme, ‘Hivi ndivyo Babiloni atakavyozama asiinuke tena kamwe kwa sababu ya msiba ambao ninaleta juu yake;+ nao hakika watajichosha.’”+ Maneno ya Yeremia yamefikia hapa.