Methali 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Afadhali kuwa na kidogo pamoja na uadilifu+ kuliko kuwa na wingi pasipo haki.+ Methali 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+ 1 Timotheo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hakika, huo ni njia ya kupata faida kubwa,+ huu ujitoaji-kimungu+ pamoja na ujitoshelevu.+
9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+