Methali 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kupata hazina kwa ulimi wa uwongo ni pumzi inayopeperushwa,+ kwa wale wanaotafuta kifo.+ Yeremia 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+ Mika 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, bado kuna hazina za uovu katika nyumba ya mwovu,+ na kipimo cha efa kilichobanwa ambacho kimeshutumiwa?
11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+
10 Je, bado kuna hazina za uovu katika nyumba ya mwovu,+ na kipimo cha efa kilichobanwa ambacho kimeshutumiwa?