Mwanzo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mungu akaendelea kusema: “Maji na yajawe na nafsi hai+ na viumbe vinavyoruka viruke juu ya dunia kwenye uso wa anga la mbingu.”+ Ayubu 38:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ni nani anayemtayarishia kunguru chakula chake+Wakati watoto wake wanapomlilia Mungu wapate msaada,Wanapoendelea kutanga-tanga kwa sababu hakuna chakula chochote? Zaburi 104:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Juu yake hukaa viumbe vinavyoruka vya mbinguni;+Kutoka katikati ya majani mengi yanaendelea kuvuma.+ Mathayo 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Je, shomoro wawili hawauzwi kwa sarafu ya thamani ndogo?+ Na bado hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+
20 Mungu akaendelea kusema: “Maji na yajawe na nafsi hai+ na viumbe vinavyoruka viruke juu ya dunia kwenye uso wa anga la mbingu.”+
41 Ni nani anayemtayarishia kunguru chakula chake+Wakati watoto wake wanapomlilia Mungu wapate msaada,Wanapoendelea kutanga-tanga kwa sababu hakuna chakula chochote?
12 Juu yake hukaa viumbe vinavyoruka vya mbinguni;+Kutoka katikati ya majani mengi yanaendelea kuvuma.+
29 Je, shomoro wawili hawauzwi kwa sarafu ya thamani ndogo?+ Na bado hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+