Zaburi 110:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+ Mathayo 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Endeleeni kukesha+ na kusali+ sikuzote, ili msiingie katika jaribu.+ Bila shaka, roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”+
3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+
41 Endeleeni kukesha+ na kusali+ sikuzote, ili msiingie katika jaribu.+ Bila shaka, roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”+