Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi Mungu akaiona dunia na, tazama! ilikuwa imeharibika,+ kwa sababu kila mwenye mwili alikuwa amejiharibia njia yake duniani.+

  • Zaburi 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Uniokoe,+ Ee Yehova, kwa maana mshikamanifu amefikia mwisho;+

      Kwa maana watu waaminifu wametoweka kutoka katikati ya wana wa binadamu.

  • Zaburi 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Wote wamegeuka kando,+ wote ni wafisadi kwa njia ileile;+

      Hakuna yeyote anayefanya mema,+

      Hakuna hata mmoja.+

  • Mhubiri 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana hakuna mwanadamu aliye mwadilifu duniani ambaye huendelea kufanya mema na asifanye dhambi.+

  • Waroma 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Watu wote wamepotoka, wote pamoja wamekuwa wasiofaa kitu; hakuna yeyote anayetenda fadhili, hakuna hata mmoja.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki