Zaburi 18:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo zao;+Nao wale wanaonichukia vikali, nitawanyamazisha.+ Zaburi 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watenda-maovu walipokuja karibu juu yangu ili wapate kuila nyama yangu,+Wao wakiwa ni wapinzani wangu na adui zangu,+Wao walijikwaa na kuanguka.+
40 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo zao;+Nao wale wanaonichukia vikali, nitawanyamazisha.+
2 Watenda-maovu walipokuja karibu juu yangu ili wapate kuila nyama yangu,+Wao wakiwa ni wapinzani wangu na adui zangu,+Wao walijikwaa na kuanguka.+