Methali 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kama wakati upepo wa dhoruba unapopita, ndivyo na mwovu asivyokuwapo tena;+ lakini mwadilifu ni msingi mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeremia 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tazama! Dhoruba ya Yehova, ghadhabu, hakika itatoka, tufani inayozunguka.+ Itajizungusha juu ya kichwa cha waovu.+
25 Kama wakati upepo wa dhoruba unapopita, ndivyo na mwovu asivyokuwapo tena;+ lakini mwadilifu ni msingi mpaka wakati usio na kipimo.+
19 Tazama! Dhoruba ya Yehova, ghadhabu, hakika itatoka, tufani inayozunguka.+ Itajizungusha juu ya kichwa cha waovu.+