Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+ Zaburi 58:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kabla vyungu vyenu havijapatwa na mkwamba uliowashwa,+Ulio mbichi na pia ule unaowaka, ataipeperusha kama upepo wa dhoruba.+ Isaya 40:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Bado hawajapandwa kamwe; bado hawajapandwa mbegu kamwe; bado kisiki chao hakijatia mizizi kamwe duniani.+ Na mtu anahitaji kupuliza tu juu yao nao wanakauka;+ na dhoruba ya upepo itawachukulia mbali kama majani makavu.+
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+
9 Kabla vyungu vyenu havijapatwa na mkwamba uliowashwa,+Ulio mbichi na pia ule unaowaka, ataipeperusha kama upepo wa dhoruba.+
24 Bado hawajapandwa kamwe; bado hawajapandwa mbegu kamwe; bado kisiki chao hakijatia mizizi kamwe duniani.+ Na mtu anahitaji kupuliza tu juu yao nao wanakauka;+ na dhoruba ya upepo itawachukulia mbali kama majani makavu.+