Zaburi 58:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kabla vyungu vyenu havijapatwa na mkwamba uliowashwa,+Ulio mbichi na pia ule unaowaka, ataipeperusha kama upepo wa dhoruba.+ Methali 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 jambo mnalohofu litakapokuja kama dhoruba, na taabu yenu wenyewe itakapofika kama upepo wa dhoruba,+ na shida na nyakati ngumu zitakapowapata.+ Isaya 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Vikundi vya taifa+ vitafanya kishindo kama kelele za maji mengi. Na Yeye atavikemea,+ navyo vitakimbia na kufukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepo na kama mgurumo wa mbaruti mbele ya upepo wa dhoruba.+
9 Kabla vyungu vyenu havijapatwa na mkwamba uliowashwa,+Ulio mbichi na pia ule unaowaka, ataipeperusha kama upepo wa dhoruba.+
27 jambo mnalohofu litakapokuja kama dhoruba, na taabu yenu wenyewe itakapofika kama upepo wa dhoruba,+ na shida na nyakati ngumu zitakapowapata.+
13 Vikundi vya taifa+ vitafanya kishindo kama kelele za maji mengi. Na Yeye atavikemea,+ navyo vitakimbia na kufukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepo na kama mgurumo wa mbaruti mbele ya upepo wa dhoruba.+