Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Na wawe kama makapi mbele ya upepo,+

      Naye malaika wa Yehova na awe akiwasukuma.+

  • Zaburi 83:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Mungu wangu, uwafanye kama kisulisuli cha mbaruti,+

      Kama majani makavu mbele ya upepo.+

  • Isaya 29:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na umati wa wale walio wageni kwako utakuwa tu kama vumbi laini,+ na umati wa waonevu+ kama tu makapi yanayopitilia mbali.+ Na hilo litatokea mara moja, kwa ghafula.+

  • Danieli 2:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wakati huo kile chuma, ule udongo uliofinyangwa, ile shaba, ile fedha na ile dhahabu, zote pamoja, zilipondwa na kuwa kama makapi yanayotoka kwenye uwanja wa kupuria wa wakati wa kiangazi,+ kisha upepo ukazipeleka mbali hivi kwamba alama zake hazikuonekana hata kidogo.+ Na lile jiwe lililoipiga sanamu ile likawa mlima mkubwa, na kuijaza dunia yote.+

  • Hosea 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi+ na kama umande unaotoweka mapema; kama makapi yanayopeperushwa mbali kutoka kwenye uwanja wa kupuria+ na kama moshi kutoka katika tundu la paa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki