24 Bado hawajapandwa kamwe; bado hawajapandwa mbegu kamwe; bado kisiki chao hakijatia mizizi kamwe duniani.+ Na mtu anahitaji kupuliza tu juu yao nao wanakauka;+ na dhoruba ya upepo itawachukulia mbali kama majani makavu.+
12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala+ lakini makapi atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”