Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+

  • Isaya 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Nami nitasimama kupigana nao,”+ asema Yehova wa majeshi.

      “Nami nitakatilia mbali kutoka katika Babiloni jina+ na mabaki na watoto na wazao,”+ asema Yehova.

  • Isaya 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na, tazama, sasa, linakuja gari la vita la watu, pamoja na jozi ya farasi wa vita!”+

      Naye akaanza kusema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka,+ na sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki