Isaya 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+ Isaya 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Nami nitasimama kupigana nao,”+ asema Yehova wa majeshi. “Nami nitakatilia mbali kutoka katika Babiloni jina+ na mabaki na watoto na wazao,”+ asema Yehova. Isaya 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na, tazama, sasa, linakuja gari la vita la watu, pamoja na jozi ya farasi wa vita!”+ Naye akaanza kusema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka,+ na sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+
19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+
22 “Nami nitasimama kupigana nao,”+ asema Yehova wa majeshi. “Nami nitakatilia mbali kutoka katika Babiloni jina+ na mabaki na watoto na wazao,”+ asema Yehova.
9 Na, tazama, sasa, linakuja gari la vita la watu, pamoja na jozi ya farasi wa vita!”+ Naye akaanza kusema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka,+ na sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+