Ayubu 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Je, wao wanakuwa kama nyasi mbele ya upepo,+Na kama makapi ambayo dhoruba imepeperushia mbali? Zaburi 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Waovu hawako hivyo,Bali wako kama makapi ambayo upepo hupeperusha.+ Zaburi 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na wawe kama makapi mbele ya upepo,+Naye malaika wa Yehova na awe akiwasukuma.+ Isaya 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Vikundi vya taifa+ vitafanya kishindo kama kelele za maji mengi. Na Yeye atavikemea,+ navyo vitakimbia na kufukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepo na kama mgurumo wa mbaruti mbele ya upepo wa dhoruba.+
13 Vikundi vya taifa+ vitafanya kishindo kama kelele za maji mengi. Na Yeye atavikemea,+ navyo vitakimbia na kufukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepo na kama mgurumo wa mbaruti mbele ya upepo wa dhoruba.+