13 Vikundi vya taifa+ vitafanya kishindo kama kelele za maji mengi. Na Yeye atavikemea,+ navyo vitakimbia na kufukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepo na kama mgurumo wa mbaruti mbele ya upepo wa dhoruba.+
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi+ na kama umande unaotoweka mapema; kama makapi yanayopeperushwa mbali kutoka kwenye uwanja wa kupuria+ na kama moshi kutoka katika tundu la paa.
12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala+ lakini makapi atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”