Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa nini mataifa yamekuwa na fujo+

      Na vikundi vya mataifa vimeendelea kusema jambo la upuuzi?+

  • Zaburi 67:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+

      Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+

      Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela.

  • Isaya 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sikilizeni! Umati katika milima, kitu kama kikundi cha watu wengi sana!+ Sikilizeni! Ghasia za falme, za mataifa yaliyokusanyika pamoja!+ Yehova wa majeshi anakusanya jeshi la vita.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki