Zaburi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa nini mataifa yamekuwa na fujo+Na vikundi vya mataifa vimeendelea kusema jambo la upuuzi?+ Zaburi 67:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela. Isaya 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sikilizeni! Umati katika milima, kitu kama kikundi cha watu wengi sana!+ Sikilizeni! Ghasia za falme, za mataifa yaliyokusanyika pamoja!+ Yehova wa majeshi anakusanya jeshi la vita.+
4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela.
4 Sikilizeni! Umati katika milima, kitu kama kikundi cha watu wengi sana!+ Sikilizeni! Ghasia za falme, za mataifa yaliyokusanyika pamoja!+ Yehova wa majeshi anakusanya jeshi la vita.+