Yeremia 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Pigeni kelele za vita juu yake kila upande.+ Ametoa mkono wake.+ Nguzo zake zimeanguka. Kuta zake zimebomolewa.+ Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi juu yake. Kama alivyotenda, mtendeeni vivyo hivyo.+ Yeremia 51:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yeye anayekanyaga upinde wake na asikanyage.+ Na yeyote asisimame akiwa amevaa vazi lake la chuma. “Nanyi msiwahurumie vijana wake.+ Liangamizeni jeshi lake lote.+
15 Pigeni kelele za vita juu yake kila upande.+ Ametoa mkono wake.+ Nguzo zake zimeanguka. Kuta zake zimebomolewa.+ Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi juu yake. Kama alivyotenda, mtendeeni vivyo hivyo.+
3 “Yeye anayekanyaga upinde wake na asikanyage.+ Na yeyote asisimame akiwa amevaa vazi lake la chuma. “Nanyi msiwahurumie vijana wake.+ Liangamizeni jeshi lake lote.+