Isaya 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na pinde zao zitawavunja vipande-vipande hata vijana.+ Nao hawatauhurumia uzao wa tumbo;+ macho yao hayatawasikitikia wana. Yeremia 50:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote,+ na hata wanaume wake wote wa vita watanyamazishwa katika siku hiyo,”+ asema Yehova.
18 Na pinde zao zitawavunja vipande-vipande hata vijana.+ Nao hawatauhurumia uzao wa tumbo;+ macho yao hayatawasikitikia wana.
30 Kwa hiyo vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote,+ na hata wanaume wake wote wa vita watanyamazishwa katika siku hiyo,”+ asema Yehova.