Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na pinde zao zitawavunja vipande-vipande hata vijana.+ Nao hawatauhurumia uzao wa tumbo;+ macho yao hayatawasikitikia wana.

  • Yeremia 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana kifo kimekuja kupitia madirisha yetu; kimeingia ndani ya minara ya makao yetu, ili kumkatilia mbali mtoto kutoka barabarani, vijana kutoka katika viwanja vya watu wote.’+

  • Yeremia 49:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Kwa hiyo vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote, na wanaume wote wa vita watanyamazishwa katika siku hiyo,”+ asema Yehova wa majeshi.

  • Yeremia 51:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wataanguka wakiwa wameuawa katika nchi ya Wakaldayo+ na wakiwa wamechomwa katika barabara zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki