21 Kwa maana kifo kimekuja kupitia madirisha yetu; kimeingia ndani ya minara ya makao yetu, ili kumkatilia mbali mtoto kutoka barabarani, vijana kutoka katika viwanja vya watu wote.’+
26 “Kwa hiyo vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote, na wanaume wote wa vita watanyamazishwa katika siku hiyo,”+ asema Yehova wa majeshi.