Yeremia 50:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote,+ na hata wanaume wake wote wa vita watanyamazishwa katika siku hiyo,”+ asema Yehova. Yeremia 51:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nao wataanguka wakiwa wameuawa katika nchi ya Wakaldayo+ na wakiwa wamechomwa katika barabara zake.+ Maombolezo 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+
30 Kwa hiyo vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote,+ na hata wanaume wake wote wa vita watanyamazishwa katika siku hiyo,”+ asema Yehova.
4 Nao wataanguka wakiwa wameuawa katika nchi ya Wakaldayo+ na wakiwa wamechomwa katika barabara zake.+
21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+